News

LUSIVE:JAY MOE AFANYA COLLABO NA OMMY DIMPOZ

Jay Moe baada ya kufanya vizuri katika ngoma zake,sasa latest infoz nyingine ambayo nimeipata hii leo ni kwamba jana alikuwa ndani ya Bongo record akifanya ngoma yake nyingine mpya akiwa amefanya collabo na Ommy Dimpoz na jina la hiyo inaitwa Only you.Kwa hiyo wale mashabiki wa Jay Moe na Ommy Dimpoz kaeni tayari kwa ujio huu mpya kutoka ndani ya...Read More

SIKILIZA U HEAD YA LEO INAYOMUHUSU MWINYIGOHA

...Read More

BAADA YA SHARO KUFA SASA MAGAZETI YAANZA KUANDIKA STORY KAMA HII

...Read More

FAHAMU NGOMA AMBAZO AMANI ANAZIKUBALI SANA

...Read More

DIVA GIVE FOR CHARITY TAREHE 9 MWEZI HUU

Diva Giving for Charity ni siku ya Tarehe 9/12/2012 Pale Tandale katika Kituo Cha Almadina Children Home. Kituo Kinaongozwa na Kuendeshwa na Bi.Kuruthum Yusuph Juma ana Miaka 53 na Ni Mtu wa Mafia ila Hapo Amepanga na analipia mil3 kwa Mwaka na Sehemu ni ndogo sana na Mazingira Ni Magumu sana,Kuna Watoto 52 ambao ni yatima,Wanaume 24 na Wanawake 28 kuna...Read More

NISHER MWAKANI KUTAMBULIZA NGOMA YAKE MPYA

Naweza kusema kwamba ni moja kati ya ma Director wakali ambao wanatokea pande za A town city katika production yake inayofahamika kama Nisher Entertainment, kupitia katika production yake ameweza kufahamika,sasa latest infoz ni kwamba leo baada ya kupiga naye story amefunguka na kusema kwamba next year anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la "Yeah Yeah Yeah"Kwa hiyo kaa...Read More

MFAHAMU WAKAZI AKIELEZEA MAISHA YAKE NA MUZIKI WA HIP HOP

                                                             Wakazi na Ncha kali             ...Read More

CHECK OUT:B'BALL KITAA JINSI WATU WALIVYOKIMBIZA KAMA KAWA

              ...Read More

KUWA WA KWANZA KUIONA VIDEO MPYA YA DULLY FT DIAMOND,OMMY DIMPOZ "UTAMU"

              ...Read More

Tuesday, December 4, 2012

DIAMOND ATOA UJUMBE KWA DULLY BAADA YA KUTIMIZA MIAKA KADHAA

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Diamond Platinum,leo kupitia katika website yake aliweza kuandika ujumbe mfupi wa kumpongezi msanii Dully sykes kwa kutimiza miaka kadhaa kwa siku ya leo na ujumbe huo ni huu hapa"Kiukweli ni mtu ambae anamchango mkubwa sana katika Safari yangu ya kimuziki mpaka kufikia hapa...pengine pasingekuwa na uwepo wake huwenda nisingefika hapa nilipo ni mtu anae...Read More

KAMA ULIMISS U HEAD YA LEO INAYOMUHUSU BABA REVO BASI HUU NDIYO WAKATI WAKO WA KUSIKILIZA KILE AMBACHO KIMEMKUTA

...Read More

LADY J DEE ANA MIPANGO YA KUMRUDISHA MWINYIGOHA NDANI YA MACHOZI BAND

Msanii wa Bongo Fleva  hapaTzee almaarufu kama mwanadada Lady J Dee,baada ya band yake kuendelea kufanya vizuri zaidi na zaidi,sasa latest info ambayo tumepata hii leo ni kwamba yupo katika mikakati ya kumrudisha mwimbaji wake wa zamani anayefahamika kwa jina la Mwinyigoha.Baada ya kumaliza kutiririka aliweza kuandika ujumbe mfupi kwa wewe shabiki wake. ...Read More

DJ CHOKA SOON KUTOA NGOMA MPYA

 Ni moja kati ya watu wenye umaarufu fulani hapa Tzee kwa kupitia kazi za wasanii mbalimbali katika media au pale mtu anapokuwa na kazi yake basi lazima ukutane na huyu mtu hata support kazi yako kwa kupitia blog yake ,sasa latest infoz kutoka kwa choka ni kwamba siku ya tarehe 12 mwezi wa 12 anatarajia kuachia ngoma yake mpya kwa...Read More

KAMA WEWE NI SHABIKI WA DULLY SYKES INATUHUSU HII

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Dully Sykes, siku ya leo anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe kwa hiyo kama wewe pia unazaliwa siku kama ya leo, basi utakuwa unasherekea siku yako ya kuzaliwa na msanii huyo.Team nzima ya @Fettythebest tunawatakiwa All the best ...Read More

UMRI WA LULU BADO GUMZO MAHAKAMANI

Msanii wa filamu za kibongo maarufu kama Bongo Movie, Elizabeth Michael alias Lulu baada ya kipindi cha nyuma kurudishwa rumande kwa kesi yake inayomkabili kwa kutuhumiwa kumuua msanii mwenzake,The Late  Steven Kanumba, siku ya jana ndiyo kesi yake ilikuwa inasomwa katika mahakama ya Hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam huku suala la umri wa mshitakiwa huyo likiendelea kuwekwa chini.Kwa mujibu...Read More

HII NDIYO VIDEO YA CHICOLO KUTOA KATIKA DARASA LA FID Q UJAMAA HIP HOP

                          ...Read More

Monday, December 3, 2012

NU VIDEO/ DIAMOND PLATINUM"NATAKA KULEWA"

                   
...Read More

CHECK OUT: VIDEO MAKER ILIYOFANYIKA JANA MAENEO YA TANESCO B BALL KITAA CHINI YA DIRECTOR ADAMU JUMA

Naweza kusema kwa namna moja au nyingine,baada ya ma producer kadhaa walifanya muziki wa hapa bongo kwa muda mrefu sana hawa si wengine ni Dunga,P Funk,Lamar.Akili the Brain,John Mahundi sasa siri ya ma producer hawa wameamua kuunda kundi lao ambalo linakwenda kwa jina la No Name.Na siku ya jana walikuwa maeneo ya Tanesco mkabala na u balozi wa marekani wakifanya...Read More

me My Biography Contact Me

FURAHIA MIZIKI YETU


Myspace music player

Tuesday, December 11, 2012

SIKILIZA U HEAD Q CHILLAH AKILALAMIKA JUU YA DIRECTOR WA VIDEO

...Read More

PICHA YA SIKU:DIAMOND PLATINUM FACE TO FACE NA AVRIL

...Read More

NU VID: STOLO FT. CHIBWA - "UZOEFU" OFFICIAL VIDEO

...Read More

KAMA ULIMISS 255 NA MWANADADA DEEANDY HII HAPA

...Read More

FAHAMU MAFANIKIO YA DULLY KATIKA MUZIKI WA HAPA BONGO

...Read More

SOPHIE KESSY KUTOKA CHUMBA CHA HABARI ANAFUNGUKA JUU YA UGONJWA WA NELSON MANDELA

...Read More

LAMAR AJA NA KUNDI LAKE JIPYA"MASHOSTIZI"

Producer kutoka katika Label ya Fishcrab Audio Station maarufu kama Lamar, siku zilizopita baada ya kutangaza katika vyombo mbalimbali vya habari kwamba anatafuta wasichana ambao wenye uwezo wa kuimba ili aweze kufanya nao kazi katika studio yake,hatimaye amefanikio kupata wasichana watatu ambao ni Nuru,Salma na Menyinah.Katika mazungumzo lamar alisema kwamba kwasasa kundi hilo limeshamaliza kutengeneza ngoma yao mpya ila...Read More

HII NDIYO NGOMA MPYA YA DOGO ASLEY"UTACHEZAJE"

...Read More

RAY APEA CHEO KIKUBWA NDANI YA BONGO MOVIE

Msanii wa Filamu za Bongo Movie hapa nchini maarufu kama Ray, siku za hivi karibuni baada ya kikao cha mwisho cha wasanii kilichofanyika Leaders Club aliweza kuteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Bongo Movie huku akifuatiwa na Irene Uwoya ambaye ni Makamu mwenyekiti, bila kusahau katibu mkuu mpya ni Chiki Mchoma.                                                      ...Read More

AMINI AELEZA MAFANIKIO ALIYOYAPATA NDANI YA TANZANIA HOUSE OF TALENT

...Read More

Monday, December 10, 2012

EXCLUSIVE: RAY C AMEPONA NA LEO AMEPATA NAFASI YA KUMTEMBELEA RAIS JAKAYA KIKWETE IKULU JIJINI DAR

Mwanamuziki wa Bongo Fleva maarufu kama Ray C siku ya leo amemtembelea Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam na kumshukuru kwa msaada wa matibabu kipindi alipokuwa mgonjwa.Kwa upande wa mama mzazi wa Ray C amemshukuru sana Rais Kikwete kwa kuokoa maisha ya mwanaye. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Ray C kushoto,Mama yake mzazi Ray C Bibi Margareth...Read More

SHOW YA KUFUNGA MWAKA ILIYOFANYIKA JANGWANI HII HAPA

 Kama ulimiss jana kuhudhuria katika show ya kufunga mwaka maeneo ya Jangwani Jijini Dar,basi huu ni wakati wako wakuona jinsi wasanii ambao waliweza kutoa burudani ya kutosha na yenye uhakika kabisa.                                                                          Baghadad                                                                       Scorpion girl                                                                          Barnaba                                                                       Dogo Janja                                                                  PNC na Dogo Janja                                                                  Suma Mnazaleti                                                                       Dully Sykes                             Bi Cheka...Read More

CHECK OUT: SHOW YA BIRTHDAY THT NDANI YA DARLIVE

 Jana baada ya Tanzania house of talent(THT) kufikisha miaka 7 toka ianzishwe,waliweza kutoa burudani ya kutosha kabisa maeneo ya Darlive huku wakisindikizwa na wasanii mbalimbali.                                                Mwasiti na supa nyota akitoa burudani                                              Team nzima ya THT ilipanda kwenye stage                                                                          Barnaba                                                                  Barnaba na Amini                                                                        Mataluma ...Read More

SIKILIZA U HEAD INAYOMUHUSU MTANGAZAJI WA CLOUDS FM KUKAMATWA NA WANAJESHI

...Read More

HUU NI WAKATI WAKO WA KUIONA MOVIE TRAILER YA DARASA"SIKATI TAMAA"

   Sikati Tamaa ni Filamu ya rapper Darasa ambaye katika filamu hiyo ameigiza na wasanii wengi kama Godzilla,Ben Pol,Hasheem Kambi na wengineo.Hii ni official trailer ya movie hiyo mpya.      ...Read More

WINFRIDA DOMINIC KUIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MASHINDANO YA MISS UNIVERSE

 Huyu ndiye atakaye wakilisha Tanzania katika mashindano ya dunia ambayo yanatarajia kufanyika siku ya tarehe 19 mwezi wa Disemba nchini Marekani.Mpigie kura ili aingie moja kwa moja nusu fainali kupitia mtandao huo hapo. http://missuniverse.com/members/profile/652697/year:2012 ...Read More

KAMA ULIMISS KUJA AFTER SKUL BASH BASI HUU NI WAKATI WAKO WA KUANGALIA HIZI VIDEO

                                                                                                  ...Read More

BI KIDUDE APEWA NISHANI YA SANAA NA MICHEZO KWA MCHANGO WAKE KATIKA SANAA YA HAPA NCHINI KWETU

Jana katika harakati za kuadhimisha miaka 51 ya uhuru,Rais Jakaya Kikwete alimtunuku nishani Bibi Fatma Binti Baraka a.k.a Bi Kidude kwa mchango wake mkubwa katika uimbaji wa Taarabu hapa nchini. ...Read More

CHECK OUT: AFTER SKUL BASH ILIVYOTISHA NDANI YA MBALAMWEZI BEACH

                                                                      Mashabiki                                                                       Mwana FA                             Baba John akiwa na mtu ambaye amefanana na Diamond Platinum           Huyu ndiye ameibuka kuwa mshindi wa kufanana na mimi dzain tumetokelezea                                                                    Kala Jeremiah                                                                        B Dozen             Kala Jeremiah akiwa na shabiki wake ambaye atafanya naye remix ya...Read More

No comments:

Post a Comment